ASACOHUB
ASACOHUB
ASACHIFU COLLEGES HUB, Loading....
📞 +255 679 852 485  |  ✉ info@asacohub.ac.tz
About Contact Help
Help Center

Tuko Hapa Kukusaidia

Tafuta msaada wa haraka, angalia mwongozo, au wasiliana nasi moja kwa moja. Timu yetu ipo kukusaidia wakati wote.

20 Mada 4 Kategoria Msaada 24/7

Msaada wa Haraka

Chagua kategoria unayohitaji msaada nayo.

Mada za Msaada

Maelezo ya kina kwa kila kategoria.

Kwa Wanafunzi

  • Jinsi ya kujisajili

    Fungua akaunti bure kwa jina, email, na simu. Thibitisha kwa OTP.

  • Kukamilisha wasifu

    Jaza taarifa za kielimu, documents, na subiri uthibitisho wa SuperAdmin.

  • Kuomba vyuo

    Omba vyuo hadi 3 kwa wakati mmoja. Chagua program unayotaka.

  • Kufuatilia maombi

    Angalia hali ya maombi yako kwenye dashboard yako.

  • Kupata joining instructions

    Ukiidhinishwa, pakua joining instructions kwenye akaunti yako.

Kwa Vyuo

  • Kusajili chuo

    Fungua akaunti ya chuo kwa jina la mwakilishi.

  • Kupakia NACTVET

    Pakia NACTVET RegNo na certificate halali kwa uhakiki.

  • Kupokea leads

    Pokea maombi ya wanafunzi kama leads na uone taarifa za kielimu.

  • Kulipia lead

    Lipia TZS 2,000 kwa mobile money ili kupata contacts.

  • Kufanya admission

    Wasiliana na mwanafunzi, fanya admission, na pakia joining instructions.

Malipo

  • Njia za malipo

    Tunatumia mobile money kupitia SplashPay (M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel, Halo).

  • Gharama ya lead

    TZS 2,000 kwa mwanafunzi mmoja. Unalipia baada ya kukubali lead.

  • Refund

    Malipo ya lead hayarudishwi kwa sababu lead inafunguliwa mara moja.

  • Risiti

    Risiti inatumwa kwenye barua pepe yako baada ya malipo kukamilika.

  • Tatizo la malipo

    Wasiliana nasi kwa simu au WhatsApp kama una tatizo la malipo.

Kiufundi

  • Browser inayotakiwa

    Tunapendekeza Chrome, Firefox, Safari, au Edge ya kisasa.

  • Simu

    Tovuti yetu inafanya kazi vizuri kwenye simu, tablet, na kompyuta.

  • Kurudisha password

    Tumia "Forgot Password" kwenye ukurasa wa login.

  • Kufuta akaunti

    Nenda kwenye profile yako na uchague "Delete Account".

  • Report tatizo

    Wasiliana nasi kwa Contact page kama una tatizo la kiufundi.

Maswali ya Haraka

Majibu ya maswali yanayoulizwa mara kwa mara.

Je, kutumia ASACOHUB ni bure kwa wanafunzi?

Ndiyo, kwa wanafunzi kujiunga na kuomba vyuo ni bure kabisa. Vyuo ndio hulipia lead.

Ninaweza kuomba vyuo vingapi?

Unaweza kuomba vyuo hadi vitatu (3) kwa wakati mmoja.

Gharama ya lead kwa chuo ni kiasi gani?

Gharama ya lead ni TZS 2,000/= kwa mwanafunzi mmoja.

Nini kinatokea kama chuo hakitajibu?

Kama chuo hakitajibu ndani ya siku 30, ASACOHUB inatoa warning na kinaweza kubanwa.

Ninalipia kwa njia gani?

Tunatumia mobile money kupitia SplashPay (M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel, Halo).

Taarifa zangu zinalindwa vipi?

Tunatumia encryption, CSRF, XSS, SQL Injection prevention, na OTP kwa usalama wa taarifa zako.

Bado Unahitaji Msaada?

Wasiliana nasi kwa njia yoyote ile hapa chini.

Uko Tayari Kuomba?

Fungua akaunti yako bure na anza kuomba vyuo hadi 3.