ASACOHUB ni jukwaa la kidijitali linalounganisha wanafunzi wanaotafuta vyuo na vyuo vinavyotafuta wanafunzi. Tunatoa mfumo rahisi wa kuomba, kufuatilia maombi, na kupata taarifa sahihi za vyuo vyote vilivyosajiliwa na NACTVET.
Misingi inayotuongoza katika kuwahudumia wanafunzi na vyuo Tanzania.
Kuwezesha kila mwanafunzi Tanzania kupata chuo kinachofaa kwa urahisi, kwa kutoa mfumo rahisi, wa kuaminika, na wa kidijitali wa kuomba na kufuatilia maombi ya vyuo.
Kuwa jukwaa namba moja la kuunganisha wanafunzi na vyuo Afrika Mashariki, likitoa fursa sawa kwa kila mwanafunzi, popote alipo.
Hatua rahisi kwa wanafunzi na vyuo kuanza kutumia jukwaa letu.
Fungua akaunti bure kwa jina lako, barua pepe, na namba ya simu. Thibitisha kwa OTP.
Jaza taarifa zako za elimu, region, na documents. Subiri uthibitisho wa ASACOHUB.
Vinjari vyuo vilivyothibitishwa, chuja kwa Health/Non-Health, region, na ownership.
Omba vyuo hadi vitatu. Chagua program unayotaka na wasilisha maombi yako.
Fuatilia hali ya maombi yako na pokea taarifa kwa SMS na Email.
Ukiidhinishwa, pakua joining instructions moja kwa moja kwenye akaunti yako.
Fungua akaunti ya chuo kwa jina la mwakilishi na taarifa za chuo.
Pakia NACTVET RegNo, certificate, picha, program, na fee structure.
ASACOHUB inahakiki na kuthibitisha chuo. Baada ya hapo, chuo kinaonekana kwa umma.
Pokea maombi ya wanafunzi kama leads, uone taarifa zao za kielimu (bila contacts).
Kubali lead na ulipie TZS 2,000 kupata taarifa kamili za mawasiliano.
Wasiliana na mwanafunzi, fanya admission, na pakia joining instructions.
Sababu sita zinazotufanya tuwe jukwaa bora la kuunganisha wanafunzi na vyuo.
Vyuo vyote kwenye ASACOHUB vinahakikiwa na kuthibitishwa. Hakuna vyuo vya uongo.
Omba vyuo hadi vitatu kwa mchakato rahisi, bila usumbufu wa karatasi.
Pokea taarifa za maombi yako kwa SMS na Email, wakati wowote.
Taarifa zako zinalindwa kwa teknolojia ya kisasa. Contacts zinaonekana kwa chuo tu baada ya kulipia lead.
Vyuo vinapangwa kwa utendaji, siyo idadi ya leads pekee. Hii inakuza ubora.
Timu yetu ipo kukusaidia wakati wote, kwa simu, barua pepe, au WhatsApp.
ASACOHUB ina vyuo vya aina mbili kuu, vyote vilivyothibitishwa na NACTVET.
Una swali, malalamiko, au unahitaji msaada? Tuko hapa kukusaidia.
Karibu ofisini kwetu kwa mazungumzo ya ana kwa ana.
Arusha, TanzaniaJiunge na maelfu ya wanafunzi wanaotumia ASACOHUB kupata vyuo bora.
Fungua akaunti yako bure na anza kuomba vyuo hadi 3.
👋 Hi there! Need help choosing a college? Chat with us on WhatsApp.
Start Chat →