1. Utangulizi
ASACOHUB inatambua umuhimu wa faragha yako. Sera hii ya Faragha inaeleza jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuhifadhi, na kulinda taarifa zako binafsi unapotumia jukwaa letu.
Kwa kutumia ASACOHUB, unakubali mchakato wa taarifa kama ilivyoelezwa kwenye Sera hii. Kama haukubali, tafadhali usitumie huduma zetu.
Sera hii inazingatia sheria za Tanzania kuhusu ulinzi wa taarifa binafsi (Data Protection) na inafuata kanuni za kimataifa za faragha.